- +255 747 388 901 | +255 712 438 885
- info@tapifa.or.tz
NDUGU WAFUGAJI CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA KINAWAKARIBISHA KWENYE KONGAMANO LA NGURUWE LITAKALOFANYIKA TAREHE 11-13 September 2025 ukumbi UBUNGO PLAZA DAR ES SALAAM TANZANIA.
Wadau MNAKARIBISHWA kuchukua nafasi kwaaajili ya kuongesha bidhaa zenu siku ya kongamano litakalofanyika ubungo plaza dar es salaam Tanzania.Bei za booth ni Tzs 800,000 kwa Tzs 500,000. KaribunI saana nafasi zimebaki chache.
Wafugaji wauzaji wa mbegu, wauzaji wa chakula Ma Daktari wa MIFUGO, wauzaji wa madawa na vifaa vilivyo kwa mnyororo wa nguruwe Karibuni sana
Ndugu Mfugaji Nini cha kufanya kukiwa na mlipuko wa homa ya Nguruwe(ASF)*
Kuna mambo ya kuzingatia ili ugonjwa usiingie shambani au usisambae
1.Kwa shamba ambalo lipo salama, zingatia sana *bio-security* ikiwa ni
The Tanzania Association of Pig Farmers (TAPIFA) is an apex private sector member based organization that advocates for the growth and competitiveness of the pig farming industry in Tanzania. Since its inception in 2016...