Wadau wa Tapifa tunawakumbusha kulipia ADa zenu
Ada ya chama huwa ni Elfu Hamsini 50,000 kwa mwanachama mpya na kwa mwanachama anayeendelea ni Elfu Thelathini 30,000 Hii ADA ni kwa mwaka mzima.
Ada ya chama huwa ni Elfu Hamsini 50,000 kwa mwanachama mpya na kwa mwanachama anayeendelea ni Elfu Thelathini 30,000 Hii ADA ni kwa mwaka mzima.
KONGAMANO LA KITAIFA LA NGURUWE KUFANYIKA TANZANIA
Na. Chiku Makwai (MUV). Dodoma
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi ikishirikiana na chama cha wafugaji wa Nguruwe Tanzania (TAPIFA) imepata fursa ya kuwa mwenyeji wa kongamano la kimataifa la ufugaji wa nguruwe litakalo fanyika Septemba 11-13, 2025 jijini Dar es Salaam.
Hayo yamesemwa leo Aprili 16, 2025 na Naibu Waziri, Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti Wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari Uliofanyika katika Ukumbi uliopo jengo la NBC jijini Dodoma.
The Tanzania Association of Pig Farmers (TAPIFA) is an apex private sector member based organization that advocates for the growth and competitiveness of the pig farming industry in Tanzania. Since its inception in 2016...