Blog

You are here

16 April
0
  13

KONGAMANO LA KITAIFA LA NGURUWE KUFANYIKA TANZANIA

Posted by:humphrey in News

KONGAMANO LA KITAIFA LA NGURUWE KUFANYIKA TANZANIA

Na. Chiku Makwai (MUV). Dodoma

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi ikishirikiana na chama cha wafugaji wa Nguruwe Tanzania (TAPIFA) imepata fursa ya kuwa mwenyeji wa kongamano la kimataifa la ufugaji wa nguruwe litakalo fanyika Septemba 11-13, 2025 jijini Dar es Salaam.

Hayo yamesemwa leo Aprili 16, 2025 na Naibu Waziri, Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti Wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari Uliofanyika katika Ukumbi uliopo jengo la NBC jijini Dodoma.

Pages

About

The Tanzania Association of Pig Farmers (TAPIFA) is an apex private sector member based organization that advocates for the growth and competitiveness of the pig farming industry in Tanzania. Since its inception in 2016...

Recent Galleries

CONTACT INFO

  • Address: P. O. Box 34151, Dar es salaam, Tanzania
  • Phone: +255 747 388 901 |+255 712 438 885
  • Mail: info@tapifa.or.tz