Nyama nyekundu hatarini kutoweka kwa kukosekana maeneo ya malisho

Posted by:administrator in Farming, News

Tafiti zinaonyesha kuwa katika kipindi cha miaka kumi na tano ijayo mahitaji ya nyama nyeupe yataongezeka maradufu katika soko la nyama kufuatia upungufu wa maeneo ya malisho ya mifugo yenye nyama nyekundu kama Ng’ombe.